Monday, December 12, 2016

WAZIRI WA MAMBO YA NDANI MWIGURU NCHEMA AMESEMA MAITI ILIYOKUTWA DARAJANI NI WAHAMIAJI HALAMU#johnleo

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amesema kuwa miili ya watu saba iliyokutwa ikielea imekufa ikielea kwenye mto Ruvu ilikuwa ni ya Wahamiaji Haramu. 

Kauli hiyo ameitoa leo asubuhi wakati wa mahojiano na runinga ya Star Tv katika kipindi cha Tuongee Asubuhi.


0 maoni:

Post a Comment