Friday, December 16, 2016

KICHEKESHO#johnleo

DARASA - MUZIKI
Mashabik & wangazaji: inaonekana diamond ameanza kuota mapembe.
Darasa: aneota mapembe, muongezee mkia.
Diamond: anaejiona yeye mkali tuweke mkali nan show au collabo.
Darasa: let me make one thing clear blah blah blah ctak kuckia,
Diamond: mi ndo simbaa
Darasa: sio simba, sio chui, sio mamba, ngoz yang inatosha kujigamba.
Diamond: wanakodoaa kodo
Darasa: sina maneno ya kwenye kanga, kaz juu ya kaz yaan pampa to pampa.
Diamond: watuache tulalee (ktk nyimbo yake)
Darasa: kalale uote ndoto zako za kitanda, c bado tupo macho mida ya wanga.
Diamond: (ktk kokoro) nan kazima mziki, itakua salam huyo
Darasa: unasemaga chambua kama karanga!! piga muziki, acha maneno piga mziki.
Team Wcb: diamond ndo anawakimbiza sasa HV
Darasa: unataka kukimbia na hauna break, wat do u expect.?
Diamond: ninashow rwanda burundi, south, zambia nk
Darasa: bongo,Congo, kwa thabo mbeki, cheza lokasa ya mbongo huwez Ku make.
Diamond: mm ndo msanii was kwanza kufanya vtu vkubwa (tuzo na ma show kibao)
Darasa: vitu vingne havitagaki ujuaji, waweza kuta unatandikia watu jamvii.
Diamond: jinga sana wee darasa (diamond anakimbia)
Ben pol: heyyyy, kamataaa......

0 maoni:

Post a Comment