Friday, December 30, 2016

CHID BENZI AZIDI KUHALIBIWA NA MADAWA#johnleo






#BURUDANI

Hali ya msanii wa kizazi kipya wa kitambo na mtindo wa hiphop Rashid a.k.a. Chid Benz ilivyo kwa sasa baada ya kurejea tena katika dawa za kulevya,kiukweli anatia huruma .....#dawa za kulevya hazifai kabisa,si Chid yule tuliyekuwa tunamfahamu na ngoma zake kali kama Dar es Salaam stand up n.k.......#neno gani la ushauri na msaada zaidi kwake?

0 maoni:

Post a Comment