Thursday, December 15, 2016

JOKATE ATUMIA SNAP CHAT KUELEZA HISIA ZAKE KWA MTU ANAEMPENDA# johnleo


Huenda mwanaume ambaye Jokate Mwegelo anampenda kwa dhati ameshindwa kutambua thamani yake kiasi cha kumpa kidonda cha moyo anachokiuguza sasa.
Ni nani mwanaume huyo? Last time tumecheki, mwanaume pekee aliyepokea neno ‘I love You’ kutoka kwa mrembo huyo ni Alikiba. Iko tricky kidogo sababu hadi sasa bado mastaa hao wanakanusha kuwa na uhusiano.
Anyways, acha turejee kwa Jokate. Siku nzima, mtangazaji na mjasiriamali huyo amekuwa akitumia Snapchat kupost series ya picha zenye ujumbe wa mafumbo wa mwanamke aliyeumizwa. Utazame ujumbe huo.










0 maoni:

Post a Comment