Tuesday, January 31, 2017

ALICHOKIONGEA MWANAFUNZI ALIYEONGOZA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2016#johnleo

Matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2016 Tanzania yametangazwa leo January 31 2017 na baraza la mitihaniNECTA ambapo Mwanafunzi wa kwanza kufaulu zaidi kitaifa ametokea kwenye shule ya Feza Dar es salaam na anaitwaAlfred Shauri, tazama hii video hapa chini uone alivyoongea na kupokelewa shuleni kwao.

0 maoni:

Post a Comment