Thursday, February 23, 2017

Tatizo LA miguu kuwaka moto mpaka unashindwa kutembea kwa ushauri soma hapa#johnleo


Mada hili inahusu matatizo ya Miguu kuwaka moto na namna ya kukabiliana nayo.
burning-feet.png

Maswali...
Nimekuwa na tatizo la miguu yote miwili kuwaka moto sana, hata kutembea nashindwa kukanyaga chini vizuri.

Nina umri wa miaka 38 na uzito wa 98Kg.Sijaugua ugonjwa mwingine zaidi ya malaria ya kawaida kwa mwaka mara mbili au moja.

Kwa ufupi sina mazoezi yoyote ya viungo nifanyayo.Sasa natembelea fimbo kama mlemavu.

WanaJF, Niangalizieni hili na kama kuna mtaalamu wa viungo humu basi anipe ushauri ni mazoezi gani nifanye kupunguza uzito.


Ushauri, Kinga na Tiba...



Mrejesho/Ushuhuda

0 maoni:

Post a Comment