Thursday, February 23, 2017

U-HEAD | kitale awaponda ney na madee kupata taarifa zaidi ingia hapa chuni#johnleo


    Moja kati ya story ambazo zilimake headlines kinoma siku ya jana ni pamoja na post ya muigizaji Kitale katika page yake ya Instagram.
    Post ambayo ilichukuliwa kama diss kwa wasanii Nay wa Mitego na Madee kwa kile kilichoandikwa kwenye post ile kudai kwambaMadee na Nay wa Mitego ni wasanii ambao wanaishi kwa Kiki kila wakitaka kutoa ngoma.

    Soudy Brown amemvutia waya Kitale na kutaka kujua alichomaanisha kwenye post yake. Kitale amefunguka kuwa alichokiandika ndio ambacho amemaanisha.
    Pia kuna story zilienea kwamba Mzee wa Upako amemuonya Nay wa Mitego kwa kitendo chake cha kufungua Kanisa, Sasa majibu ya Nay wa Mitego kwa Mzee wa Upako pia ameyatoa kwenye U-Heard ya leo ambayo yote nimeikusanya na kukuwekea hapa chini.
    Bonyeza play kuisikiliza mwanzo hadi mwisho.

    0 maoni:

    Post a Comment