Wednesday, December 13, 2017

Maelezo mafupi kuhusu blog ya johnleo inayomilikiwa na johnleo#johnleo

Naitwa john Marco ni kijana mjasiliamali nimezaliwa Tanzania mkoa wa simiyu katika wilaya ya bariadi kijiji cha old maswa kila mtu amezaliwa na kipaji chake na pia ana ndoto yake nina kipaji na pia Nina ndoto, kwa sasa tayari nina blog yangu ambayo huwa nafanya post za aina mbalimbali natamani siku moja nije kuwa na blog kubwa kama ya millardayo au michuzi blog na kadri mda unavoenda nitakuwa nabadilisha mwonekano was blog yangu jina la blog inaitwa johnleo.blogsport.com ukiitaji zaidi unanitafuta kupitia Facebook ambapo unaweza kuzipata moja kwa moja pia unaweza kunitafuta kupitia www.sindano.com ninachohitaji kwenu ni sapoti yenu mwezi ujao nitakuwa na account ya YouTube ambayo nitakuwa naweka huko pia kwa jina hilohilo la johnleo. By johnleo

0 maoni:

Post a Comment