Friday, December 8, 2017

Aliyekuwa Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Anna Mghwira atangaza kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Johnleo

Aliyekuwa Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Anna Mghwira atangaza kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Amesema ameridhika na mwenendo mpya wa Chama hicho chini ya Mwenyekiti wake, Dkt. John Pombe Magufuli na aimeiona CCM inayobadilika, na kuona juhudi za kila mtu, ameiona CCM inayoanza kukataa rushwa, na itaipeleka taifa mbele.

Amejiunga leo kwenye mkutano wa Umoja wa Wanawake Tanzania  (UWT) unaofanyika mjini Dodoma.

0 maoni:

Post a Comment