Sunday, March 26, 2017

Raisi magufuli amemtumbua katibu Mkuu Wa nishati na madini#johnleo

Rais amtumbua Katibu Mkuu Nishati na Madini

SUNDAY , 26TH MAR , 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Prof. Justin Ntalikwa kuanzia leo Jumapili machi 26,2017
Aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Prof. Justin Ntalikwa.
Kwa mujibu wa Taarifa kutoka Ikulu nafasi ya Katibu Mkuu wa Wizara hiyo itajazwa baadae.

0 maoni:

Post a Comment