Sunday, March 26, 2017

Friday, March 24, 2017

HABARI | waziri ashutumu kwa nini nape alionyeshwa bastora kumzuia asiongee na wanahabari# johnleo

Tanzania: Waziri ashutumu askari kwa kuchomoa bastola wakimdhibiti Nnauye 24 Machi 2017 Mshirikishe mwenzako Haki miliki ya pichaIKULU, TANZANIAImagWaziri wa mambo ya ndani nchini Tanzania Mwigulu Nchemba ameshutumu kitendo cha askari mmoja kuchomoa bastola na kufyatua risasi wakati...

Thursday, March 23, 2017

NEWS • walichokiandika baazi ya wanasiasa na mastaa wa bongo baada ya nape kuenguliwa uwazili#johnleo

WALICHO KIANDIKA BAADHI YA VIONGOZI NA MASTAA BAADA YA NAPE KUONDOLEWA KWENYE UWAZIRI WA HABARI, SANAA NA MICHEZO by jmartine watz# 23 mins ago Alhamis hii jua limechomoza likiambatana na mshtuko mkubwa kwa wananchi wengi wa Tanzania. Mshtuko huo umetokana na taarifa ya mheshimiwa...

Wednesday, March 22, 2017

HABARI | Huu ndio uamzi wa vyombo vya habari baada ya makonda kuingilia Uhuru wa habari

HUU NDO UAMUZI WA VYOMBO VYA HABARI JUU YA PAUL MAKONDA "MAKONDA NI ADUI WA UHURU WA HABARI HIVYO HAKUNA KUANDIKA WALA KUTANGAZA HABARI ZAKE KUANZIA LEO" by johnleo Jukwaa la Wahariri Tanzania(TEF) limeamua kwa kauli moja kutokuandika au kutangaza habari zozote zinazomhusisha Mkuu wa...

HABARI | Tanzania ni moja ya nchi ambayo wananchi wake hawana fulaha#johnleo

Tanzania, Rwanda na Burundi zimeorodheshwa kuwa kati ya nchi zenye watu wasio na furaha Duniani. Rwanda iko nafasi ya 151 , Tanzania nafasi ya 153 huku Burundi ikiwa nafasi ya 154 kati ya nchi 155. Norway ndiyo imechukua nafasi ya kwanza kama nchi yenye watu walio na furaha zaidi duniani,...

Sunday, March 12, 2017

MPYA | sawa ya ukimwi yangundulika upya nchini India kwa maelezo zaidi ingia hapa#johnleo

MAMILIONI ya watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (VVU) ulimwenguni, sasa wanaweza kupata tumaini jipya baada ya wanasaynsi wa nchini Isreali kugundua dawa ambayo inasemekana kuwa na uwezo mkubwa wa kutibu Ukimwi.Wanasayansi hao kutoka Chuo Kikuu cha Hebrew kilichopo Jerusalem nchini Israeli wamegundua...

Saturday, March 11, 2017

Thursday, March 9, 2017

Friday, March 3, 2017

Dogo janja anunua gari jipya baada ya kuibiwa vifaa vya gari yake ya mwanzo tizama kwa taarifa zaidi#johnleo

Dogo Janja ameonesha jeuri ya fedha. Baada ya kuibiwa baadhi ya vitu kwenye gari lake aina ya Porte rapper huyo amenunua gari jingine jipya. Gari hilo la sasa ambalo atakuwa anamiliki Dogo janja ni Raum new model yenye rangi nyekundu. Kupitia mtanda wa Instagram, Madee ameweka picha ya Janja akiwa...

Thursday, March 2, 2017