Thursday, August 23, 2018

Tuesday, August 21, 2018

Siwezi kuambatana na dogo janja kila mtu na kazi yake Irene Uwoya #johnleo

Mwigizaji Irene Uwoya ambae ni Mke wa Msanii wa Bongofleva Dogo Janja amesema hawezi kuambatana na Mume wake huyo kwenye kila tukio kama ambavyo Mashabiki wengi wanavyotaka.
Irene amesema “Jamani ni kazi…. si kila mtu ana kazi zake? sasa tukiongozana hivyo nitafanya kazi zangu saa ngapi? hapana aisee muda huu ni wa kuambatana au kufanya kazi?”